Tuesday, September 10, 2019

Tunongwe

Once upon a time kulikuwa na Tunongwe tulizaliwa. Hutu tunongwe tulikuwa tumsee tunajitambua juu half yao ilikuwa wasani madwanzi na io half ingine iliwa machopi mbleina #EducatedFools.

After tumemada mesty,tukaanza kujiona nitumjanja, na since Nairobi ndio Hub ya majanjez, tukaamua kukam ivi nakusarekania mashake plus makadandarasi za ukulima ati zipigwe na ma mokoro wao.


Manze tunongwe twingine hadi tuka ingiza mamokoro wao box wandonyo mashake ndio ati pesa za uni zipatikane. Little did they know, laana si ka bundles za 4G design ya uki live fast zitaisha haraka.

Saa utu tunongwe manze tulikam na kuspoil starehe za Nairobi na uto tu ujanja twao twa Moshatha. Na sio Tunongwe pekee kwa hii form, hadi ma leaders wajanja lakini mambleina kuruka wakapata idea ya mstiri venye watakula doh.

Ambapo wakaanza kumess na system design ya waeze kugrab ma grao za Nai wajenge ma keja ku accommodate utu tunongwe. Na venye wale wasee wa meli walitufunza ni 'Everytime you say yes to something, you say no to another thing.

Saa ambapo hii coalition ya awa ma mbleina na utu Tunongwe waliaamua kufanya mwenye ali design Nairobi kaa Capital City akae mjinga flani wakisahau Sir Jah ndio ana run tings kila mahali.

#LetsGetReal, hii story haiwezi isha hapa, so tegea part II

No comments:

Post a Comment

URBAN DECAY

Leo wacha tubanje formation ya Eastlando before Mau Mau wamwok kujua umuhimu wa kuoga na ku- shave , way mananyu time yenye waba iliw...