Tuesday, July 13, 2021

URBAN DECAY

Leo wacha tubanje formation ya Eastlando before Mau Mau wamwok kujua umuhimu wa kuoga na ku-shave, way mananyu time yenye waba iliwa inabambuka kutoka kwa shower na kabla stima ikuwe muhimu kuliko jiko design ya Gas. Kila Estate ilikuwa na specifications ya ku raise a certain breed armed na basic skills zenye badaen wangemwok ku aid in running the City, na by Stonae itabaki ume minus izi #InformalSettlements huwa hazijielewi kando ya mtaro za Inda

Kitu umuhimu kaa cashflow kwa Society na umuhimu wa kulipa Tax haikuwa #RocketScience na #CovidPandemic iliwa loosley translated to #Abeluism. Formation iliwa simple, steady flow of traffic in the two way Service Delivery to and from the wahusika. Ma Njoka hawakuwa ma jokers, shit zilikuwa run au zilikuwa zinafaa ku ran in great disrespect to the #ScienceOfStupid a.k.a mtu wetu watu wetu ushirikina katika ujinga wa umati shiet.

Believe me, hamna chuki na structure ya (ma)Yard, ngori tu ni (wa)ule (wa)mjinga (ma)nugu (ma)maraya (wa)mshenzi (wa)ule anaishi ndani ya io Structure, Scientifically imekuwa proven that kuna wajinga kati ya waerevu na vice versa. Hii gava ya #TukoPammoja iko sawa na ma Strategy ya kuchapanisha kwote, noma ni huwezi bomoa nyumba juu inawaka moto, kwanza utazima moto, yaani story ya ufisadi ndio back bone ya Mesty.

#LetsGetReal condom itazuia abortion plus kaswende na mbogi zake za maradhi lakini ujinga ya washirika iko blueprinted kwa DNA zao, uzuri hii update ya Schooling System ina potential flani design ya Vision 2030, kwa braile na sign language inclusive.
Urban Decay Art

Thursday, May 14, 2020

Grao Yetu

Ushai wonder mahali awa ma politician abelu hutoa ao ma followers wao wengi?  Ushai jiuliza mbona mtaa yako huwa imejaa ma talent mingi ziko tu chini ya maji? I bet pia mtaa yako ina story ya ule kijana flani aliwa talented design ya #JahBless, alaf vile opportunity zikawa kiasi aka turn to other vices kuji-maintain, well, form ni; si kupenda kwao, na wengi wali-dedi wakitry kuvurugana na the evil forces behind hizi ma riswa, 21 Gun Salute to our fallen soldiers, moment of silence… R.I.P.

Saa acha nikupeleke na 411. Places kaa Nairobi zikijengwa, plan iliwa kuwacha ma grao bigi empty venye ata izi Downfall za Babylon zikikam kaa hii #Covid19Pandemic, kutakuwa na area open wasee gifted in different fields wanaeza link up na ku sustain economy hadi rada iwe safi, example kaa grao ya Eastlando hua mostly black cotton soil, rada ya hii mchanga pande ya ku grow ma basic foods kaa mei na ma greens huwa fiti.

Saa awa ma abelu, waliwa amongst wale ma settlers wa fao kwa izi projects, at first kila kitu iliwa ina flow fiti, ukidai grao ya futaa shugli iliwa one time, instead ya kuraukia ma mafood zime-grow-iwa kwa sewage imepigwa mixing na ma chemical waste za Inda, uliwa unaeza piga shugli ya gardening apo njei kwa yard ya you. ma social hall ziliwa fully functioning na ma Church ziliwa moja moja kwa grao zao halali. Na kama kawa devo akikam na mstiri zake, hawes kosa na kuingiza wasee kadhaa box na doh za haraka.

Ma social hall zikageuzwa ma kanisa noisemaker za ku launder maddoh after zinasanywa kwa ma ofisi, na since binadamu huwa hatosheki, ma grao open za recreation zikaanza kupigwa grabbing alaf ma church ma thandu za kuosha doh zikaanza kujengwa, sad to say hadi kuna ma Mosque. Ma ghost companies zikaanza pia kutokea na ku-charge services zinawaga-catered-for ukilipa rent kwa kanjo alafu the remaining spaces zikajengwa ma gorofa na ma thandu guess work za kuvuta Tunongwe kutoka ocha.

As much as ni act of utu kusarekania grao ziokolee fellow humans, the expense imekuwa too much, saa zimekuwa breeding ground za votes, sanitation pia imekuwa pathetic, ma otako kila chowm, ma condom na ma sanitary pads kwa playground na bado kwa sewer system ziki clog, ma kanisa na mosque every service day huwa ni sound clash, kelele tupu, ma talented Kenyans wenye wanafaa ku elevate generations za mtaa wanafinyiliwa ndio politician apate kura aka-mange uko juu.

Alaf ma Tribal Chiefs wanatumia shugli ka census kuu kuficha white juu enyewe izi keja extra haziko ata kwa map ya Nairobi but awa wasee wanahesabiwa ndio uko mbele maddoh zikam ku fund ma ghost projects kaa 'Nairobi Re-Generation Scam' ndio wazidi kumanga tu.

#LetsGetReal
Ma Politicians ni useless, system wame corrupt, first step ya ku fix ni ku turn to God na kuchorea kuvote juu binadamu ni wale wale tu. Alaf Nairobi irudi venye iliwa tene na si tafadhali.

Tuesday, September 17, 2019

#BomaYangu SCAM!!!

#JahLove #GraoYetu venye Iko
*Pre Colonial Eastland's is a national heritage and all the laws that once governed this land are the last line of defence against what is comming.
The National Census was a Scam aimed to further propel the Boma Yangu Scam, by simply discrediting the Huduma Number project which was able to gather more reliable and real data. #Form1 #Geography.
Our hope for a better Eastlands is to observe all the initial Laws that once governed this great area. All public land should be restored to default. 

"Tunaingizwa box turingitwe ma area yetu na ma Kartel"
Here is the road they are leading us down with this Eastlands Re-Generation Scam...
Kowloon Walled City[Pictured Below, Under Ofafa Jericho] was an ungoverned, densely populated settlement in Kowloon City ,
Hong Kong, China. Originally a Chinese military fort, the Walled City became an enclave after the
New Territories was leased to the UK by China in 1898. Its population increased dramatically following the Japanese occupation of Hong Kong during World War II. By 1990, the walled city contained 50,000 residents within its 2.6-hectare (6.4-acre) borders. From the 1950s to the 1970s, it was controlled by local
triads and had high rates of prostitution,
#gambling, and drug abuse.
-Source Wikipedia
My Point is:

3) Prayer for Kenya's future and war on ignorance & Illiteracy amongst our people #LaudatoSi2019 #CatholicDayOfAction

#LetsGetReal War On Illiteracy is real, watu wapende kusoma bana, unity of all over corruption...

Tuesday, September 10, 2019

Tunongwe

Once upon a time kulikuwa na Tunongwe tulizaliwa. Hutu tunongwe tulikuwa tumsee tunajitambua juu half yao ilikuwa wasani madwanzi na io half ingine iliwa machopi mbleina #EducatedFools.

After tumemada mesty,tukaanza kujiona nitumjanja, na since Nairobi ndio Hub ya majanjez, tukaamua kukam ivi nakusarekania mashake plus makadandarasi za ukulima ati zipigwe na ma mokoro wao.


Manze tunongwe twingine hadi tuka ingiza mamokoro wao box wandonyo mashake ndio ati pesa za uni zipatikane. Little did they know, laana si ka bundles za 4G design ya uki live fast zitaisha haraka.

Saa utu tunongwe manze tulikam na kuspoil starehe za Nairobi na uto tu ujanja twao twa Moshatha. Na sio Tunongwe pekee kwa hii form, hadi ma leaders wajanja lakini mambleina kuruka wakapata idea ya mstiri venye watakula doh.

Ambapo wakaanza kumess na system design ya waeze kugrab ma grao za Nai wajenge ma keja ku accommodate utu tunongwe. Na venye wale wasee wa meli walitufunza ni 'Everytime you say yes to something, you say no to another thing.

Saa ambapo hii coalition ya awa ma mbleina na utu Tunongwe waliaamua kufanya mwenye ali design Nairobi kaa Capital City akae mjinga flani wakisahau Sir Jah ndio ana run tings kila mahali.

#LetsGetReal, hii story haiwezi isha hapa, so tegea part II

Tuesday, May 14, 2019

Games Za Media


Kaa unawaga rada na societytopic yenye wasee watabonga huwa determined na  Mass Media(social media fully included). Kuanzia fashionviews hadi beliefs. Uki-research patent ya T.V, kaa yenye uko nayo kejani uone purpose ya kujengwa kwake, sidhani utawahi iwasha tena.
Media ya world yote huwa owned by a single group ya wasee twisted na kazi yao imekuwa ku-twist information tangu i-invent-iwe. Mfano, si Charlie Chaplin aliwaga funny?
But purpose ya io show yake ilikuwa ya ku-twist the good intentions za Adolf Hitlerkwa akili ya mpenzi mtazamajimain agenda ilikuwa kuonyesha Adolf Hitler kaa fala mbleina flani, lakini kwa real senseAdolf Hitler alikuwa ana-try ku-maintain awa wasee wanaozesha humanity.
Wasee wagani hawa? Tunawaitaga ma fake Jews, sahii wako na Nchi yao Kuu inaitwa Israel, unadai kuwatetea? Cheki documentary inajiita 'Cries From Syria.' Hii media inawaga ya ao ma #FakeJewsKama unadhani Pope ama Queen Elizerbeth ni masonko kuliko awa ma Jew. Dhani tena. The original Jews huwa wanna bangaiza land once nilikuwa inaitwa Æethopia manze.
Awa ma Jew Imboo wa Israel ni mambleina wakukambut since niwasee wamekuwa toka tenee, wana doh ile design hao ndio wanalipa Pope(HoeOfBabylon), Black PopeJesuits(Enemies Of Humanity), Queen Elizerbethyaani awa ma ring leader wa Babylon wanawatambua kaa boss yao.
#LetsGetReal, rada ndio hii;

Tuesday, December 4, 2018

Open Post #2 - Sifa Za Nairobi

Once upon a time Nairobi ilikuwa place to be, kila kitu ilikuwa maintained design ya capital city. These day's Nairobi hukaa... Wacha tu. Kuanzia garbage hadi maintainance ya mtaa. Service delivery ziko chini. At least formation ya Huduma Centre's ilileta change kiasi.

Shida ilianza after the first generation since keja za Queen zimalizwe, wenye walikam after ignorance ilianza kumea ikizidi kukam hadi leo, wasee walianza kulapa sheria zina govern na ku ensure proper circulation of pesa within Nairobi.

*Keja za Queen ni zile enzi za colonial era, esto kaa Ololo, Mbote, Ofaro nakadhalika.
Alafu kitu inaitwa mabati ikakam, saitan!. Tamaa ikazidi ma indeginous wa Nairobi, illegal structures sahii kila kona. In the process, pesa iko generated Nairobi per day ni mob, but yenye inafika City Hall ni kiasi. Na ivo ndio Breeding Ground ya ma kartel ilianza. 

Majority ya recreational centres sahii utapata kenye nakushow. Illegal structures manenos.
Viwete hu receive benefits mingi kaa shiet! Si nilidhani ndoto yao nikutembea, ama ni juu Paul Kobia alikuwa area? Kama ulifurahia ban ikitoka na humjui, izah joh, wewe ni enemy of progress, good thing niko apa kukuchanua.

Ile cancer inakula Nairobi ilianza na growing ignorance, sahii mahali tuko, tax payer indeginious wa Nairobi anaumia kuliko jamaa wa rural to urban migration. Na sisi wenye tuko keja za Queen tukaamua kumaliza illegal structures na businesses within Nairobi kimmoja. Haitabidi Eastland's ibomolewe ijengwe tena upya.

#LetsGetReal Nairobi sisi ni ma die hards, kaa matatu zikigoma tunatembea, mbona kutembea sahii itulemee, tusitumiwe, macho on the price, modern Nairobi By Any Means Nessecary.

Monday, December 3, 2018

Open Post #1 - Walk To Freedom

So sisi Wa Nairobi, kila msee niku wail, oohh matatu, ooh matiangi, ooh sonko. Kama umelelewa Nairobi, na uangalie sahii, kunakaa uduu, miaka nenda, miaka rudi society ime lapa na kunyamazia story corruption unapata hadi grao ya mtaa ya recreation imejngwa gorofa. Alafu kazi ya society nikusema yesu atasaidia vijana waache kupotea.

Bytha pia izi ma lifestyle diseases za muthugu pia zimeongezeka. So ata hii nika tizi ya society. Kitu ingine ni msee kiwete anaandikwa aje job iko far away na kwake? Already hayuko fit kufika, amepata aje io kazi? Aliumia akiwa job, mbona hajashugulikiwa na sonko wake?

It's a high time we restore the face of Nairobi by any means nessecary. Na wakenya wenzangu wenye tunadai ati hii ni gava inatucheza, kumbuka hii siku in the future time utakuwa umenyamazia ufisadi.Tunafaa ku-take this walk kama "Freedom From Corruption For A Brighter Future Walk".

Kaa unaelewa circulation ya pesa kwa economy, then unajua kenye gavaa inaduu. Tunataka modern transport, Nairobi iwe a modern city, ma hawker kagundo road, transport uko iwe cheap na izi bus design unaeza simama. #MordernCity

Tunalia apa na tao usiku hakunaga pevment, congestion disaster, ama hatujachoka kuibiwa simu kwa window ya gari kwa jam? Kukula teargass na wewe ile masaa ya "KANJO!."

#LetsGetReal hawa ma kartel hua wanatumia easy markets kujenga pesa, me niliwaita mahomo, Mr Gavana amewaita ma Kartel, ma enemy of progress. Wakenya tuvumilie change.
Tuko one

URBAN DECAY

Leo wacha tubanje formation ya Eastlando before Mau Mau wamwok kujua umuhimu wa kuoga na ku- shave , way mananyu time yenye waba iliw...